RAIS SAMIA AMPENDEKEZA DKT. MPANGO KUWA MAKAMU WA RAIS, BUNGE LAMPITISHA KWA 100% (+VIDEO)

Jina hilo limepelekwa Bungeni na Mpambe wa Rais (ADC) Kanali Nyamburi Mashauri, na kukabidhiwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai. Mheshimiwa Spika, nawasilisha Bungeni Jina la Mheshimiwa Philip Isdori Mpango kwa Nafasi ya Makamu wa Rais Tanzania. Bunge lamthibitisha kwa kishindoBunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limemthibitisha Dkt. Philip